Skip to main content

Jinsi ya Kufanya Biashara Mtandaoni. Hizi Hapa Ni Biashara Tano za Kuanza Nazo

Wajasiriamali wengi wamekuwa wakitafuta mbinu mbalimbali za kufanya biashara aidha kwa kuuza huduma au bidhaa. Lakini wachache sana hasa Afrika ambao wanafikiria kufanya biashara katika intaneti. Kuna mbinu nyingi tofauti za kufanya biashara katika intaneti ambazo zinatoa fursa kwa wajasiriamali kujiongezea kipato.
Kinachohitajika ni simu au kompyuta yenye kuunganishwa na mtandao wa intaneti na pia kuwa umejiunga na mitandao ya kijamii ,au mmiliki wa tovuti au blogu (ambazo unaweza kupata bure) au barua pepe.
Zifuatazo ni baadhi ya programu zinazokuwezesha kupata fedha kupitia intaneti:

1. Kuuza Bidhaa za Biashara Yako Kupitia Tovuti 

Unaonesha biadhaa zako na bei,wanunuaji wanaziona na kuweka oda ya manunuzi. Wanalipa kwa Kadi ya Benki Credit /Debit Card) na fedha inaingia katika akaunti yako benki. Au kwa kutumia malipo kwa mfumo wa simu kama M-Pesa ,Tigo Pesa na Airtel Money kwa Tanzania.

2. Kuuza bidhaa za biashara ya watu wengine kupitia tovuti

Unajisajili na baadhi ya makampuni yanayouza bidhaa mtandaoni duniani kama Amazon na eBay na kisha kuonesha bidhaa zao katika tovuti au blogu au katika mitandao ya kijamii kama facebook na twitter. kisha watu wakinunua bidhaa hizi kupitia matangazo yako basi unapata kiasi cha malipo waliyofanya yaani kamisheni.
Kujiunga fuata linki:

 3. Kuuza Matangazo Kupitia Tovuti au Blogu

Kuna makampuni mbalimbali dunia ambayo yana wakutanisha watangazaji na wauzaji kupitia matangazo katika tovuti au blogu.
Watangazaji wanajiunga nakutuma matangazo ya biashara yao na wauzaji wenye tovuti wanajiunga nakuruhusu matangazo kuonekana katika tovuti zao.
Wauzaji wa matangazo wanalipwa kila tangazo linapoonekana katika tovuti au watu wanapo bonyeza matangazo haya.
Mfano ni adsense , chitika BuySellAdsnk.
Unahitaji kuwa na tovuti au blog ili kufanikiwa katika programu hii.

4. Kufanya Kazi za Ajira Kupitia Mtandao

Kuna makampuni ambayo yanataka wafanyakazi katika mtandao ambao wanaweza kufanya kazi fulani na wanalipwa wakikamilisha.
Baadhi ya kazi ni kama kutengeneza tovuti, kutengeneza programu za komputa au simu, kuchapa,kusikiliza na kutohoa suuti kwenda maandishi n.k
Badhi ya mitandao inyotoa huduma hizi ni  surveycompare.net , odesk.comonlinejobs.net ,elance.com , peopleperhour.com na  fiverr.com

5. Kutangaza Biashara kwa Kutuma Linki

Mbinu hii ndiyo hasa ninayopenda kuisisitiza hapa. Sababu ya kusisitiza nimkwasababu inafanya kazi kwa haraka na urahisi. Huhitaji kuwa na tovuti wala blogu kufanikisha. Kama tu upo katika mitandao ya kijamii kama facebook,twitter,intagram na mingine kama skype,whatsapp na pia kwa email unaweza kufanikiwa sana kwa kutuma linki ambayo marafiki zako wakiifungua utapata malipo.
Mfano Nimesoma katika intaneti kitu kizuri juu ya kupunguza unene na nataka marafiki zangu wanene wafidike kama haupo katika bishara hii nitatuma linki katika kundi katika facebook mfano na sitapata chochote.
Lakini ukiwa katika programu hizi unawezeshwa wewe kupata malipo kila unapofanya hivyo. Rahisi
Kama una marafiki wengi basi uwezo wako wa kufanikiwa ni mkubwa sana
Ifuatayo ni mitandao inayotoa huduma hii:

i. paid2refer

Kampuni hili linakutaka ujiunge kisha shirikisha marafiki zako kwa kuweka linki katika mitandao ya kijamii,tovuti ,blogu na barua pepe. Kila mtu atakayefuata linki unapata $0.5 sawa na Tsh. 800/-
Na ukijiunga tu unapata $2 kwenye akaunti yako. Wanalipa kupitia MoneyGram na PayPal
Kujiunga: Bonyeza Hapa

ii. CashFly

Ukitaka kushirikisha marafiki linki yoyote nzuri katika mtandao basi unakopi hiyo linki kisha unaingia katika tovuti yao na kuifupisha. Baada ya hapo utakopi linki iliyofupishwa na kuishirikisha kwa marafiki katika mitandao ya jamii na tovuti au barua pepe. Kila mtu anayefuta lini unapata malipo
Marafiki wanapata habari nzuri na wewe unapata fedha
Jiunge hapa: Bonyeza Hapa

iii. adfly

Kama ilivyo CashFly;adfly wanakuwezesha kufupishalink na kusambaza kwa marafiki
Kujiunga: Bonyeza Hapa

iv. richlink

Kama ilivyo CashFly na adfly wanakuwezesha kufupishalink na kusambaza kwa marafiki
Kujiunga: Bonyeza Hapa

 v. PaidToClick

Programu hii ni tofauti na hapo juu. Hapa unajiunga kisha unapewa linki kadhaa za kuzifuata.
Unalipwa kwa kubonyeza linki na kusoma kila kliki inaweza ikakupa $2 sawa na Tsh. 3,500 hivi.
Kujiunga: Bonyeza Hapa

Anza Sasa

Shiriki na marafiki zako upate fedha. Mtandao wa intaneti umeleta fursa nyingi sana kwa kila mtu.
Unaweza ukaanza na programu mojawapo ili kupata uzoefu na kadiri unavyoendelea unaweza ukajaribu na nyingine.
Unaweza ukaanzisha blogu yako pia. Nirahisi  jaribu blogspot.com au wordpress.com

Unataka Blogu?

Unaweza ukawasiliana na  Tz na upate blog yako katika masaa 24 tu kwa bei nafuu na uanze biashara katika intaneti.
Barua pepe: masakafrances6@gmail.com  Simu: 0628533534

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kutengeneza Channel Youtube.

Karibu tena ndugu msomaji na mtembeleaji wa blog yako pendwa ya Tanzania    ambayo inakupatia elimu itakayokusaidia kucopi na mabadiliko ya sayansi na teknolojia yanayotokea kila leo. Katika makala ya leo tutaenda kuzungumzia namna ya kufungua channel ya youtube maarufu kama online TV . Makala hii itakwenda kukupa ujuzi wa namna ambayo utaweza kufungua channel ya youtube wewe mwenyewe, channel ambayo utaweza kuweka video zako na watu wengine wakapata kuziona. MAHITAJI 1 : G mail account 2: Kifaa chako cha kielectoniki (kama computer) 3: Internet connection HATUA ZA KUFUATA 1:Fungua mtandao wa youtube kwenye search engine yako mfano opera mini, mozila firefox. kisha tafuta (search) www.youtube.com kama hivi:- 2:Kisha baada ya hapo itafunguka na utatakiwa kuanza kwa ku  sign in  kama inavyoonekana hapa chini:- 3:Kisha baada ya hapo chagua  g mail  account yako ambayo uta  sign in  nayo ka...

Jinsi ya kunufaika na blog au tovuti yako

Naam ni wengi sana wamekuwa wakianzisha blog au tovuti na kuishia njiani bila kuona mafanikio. Hapa nitazungumzia mambo makuu ambayo kama ukizingatia basi utafanikiwa katika blogu yako au tovuti. Kuna mambo ya kuzingatia kabla ya kuamua kuanzisha blogu au tovuti yako. MADA /TOPIC   ni swala la muhimu sana kuzingatia kabla hujaanzisha blogu au tovuti yako. Wengi  wemeshindwa kutoka na kutokujipanga katika swala hili. Kama unataka kuwa na blog kwa ajili ya habari basi uwe umejipanga vizuri katika kupata habari mpya na sio kunakili kutoka katika blog zingine za habari. Wadau wengi wanaanzisha blogu ila hawaoni mafanikio kwa vile hawana kitu cha kuvuta wadau katika blogu zao. ·            8020fashions  ni moja ya blog ambayo imefanikiwa sana hapa Tanzania, mwanadada huyo yeye amejikita katika mambo ya wanawake. Hachanganyi mambo. ·            ...

Jinsi ya kuanzisha blog yako

Hapa ndio mahali husika katika kujifunza namna ya kuwa na blog yako na kuifanya iwe na mafanikio makubwa kama ambavyo wengine wamefanikiwa kupitia blog zao. Kuna namna mbali mbali za kuwa na blog ila leo hapa nitazungumzia mbili tu ambazo ni rahisi sana. Kumbuka kuwa kuwa na blog yako mwenyewe hakuna gharama yoyote zaidi ya muda wako na ubunifu wako. BLOGGER  Kupitia uwanja huo au platform hiyo inayomilikiwa na Google unaweza kuanzisha blog yako mwenyewe ambayo itabebwa na jina ulipendalo wewe mfano:- http:// blogyako .blogspot.com, hapo ambapo nimekoleza kwa maandishi ya rangi nyekundu ndipo ambapo utaweka jina la blog yako. Utaratibu mzima utaupata wakati ukiwa unaisajiri blog yako Bofya hapa ili kutengeneza blog yako  Create a new Blog   WORDPRESS  Hapa pia utaratibu ni kama hapo mwanzo ila hizi ni nyanja (Platforms) tofauti na zinatofautiana vikolombwezo (features)  vya uboreshaji wa blogs. Hapa ukianzisha blog yako itabebwa na uwanja au platform...